Msimu wa Ligi Kuu ya soka ya England umeanza kwa kishindo kwa Aston Villa kuwashtua Arsenal kwa mabao 3-1 katika uwanja wa Emirates.
Wednesday, August 28, 2013
ALIYEMCHANA KWA CHUPA AUNT EZEKIEL NI HUYU HAPA.
KAGAME AKATA MGUU TANZANIA
RAIS Paul Kagame wa Rwanda, sasa hayupo tayari kukanyaga ardhi ya Tanzania kutokana na kile kinachoonekana kuwa ni mgogoro wa kidiplomasia unaoendelea kati yake na Rais Jakaya Kikwete. MTANZANIA Jumatano limedokezwa.
Wakati hayo yakifikia hapo, kikao cha Bunge la Afrika Mashariki (EALA), linakoketi mjini Arusha kilivunjika baada ya Spika wa bunge hilo, Magreth Zziwa, kugongana kauli na Mbunge mmoja wa Rwanda jambo lililosababisha wabunge wote wa Rwanda kususia kikao na kutoka nje ya ukumbi wa Bunge.
Tuesday, August 20, 2013
MAANDAMANO YA CHADEMA KUMNG'OA MEYA ILEMELA JIJINI MWANZA YAISHA KWA MABOMU
MAANDAMANO ya amani yaliyokuwa yameandaliwa na chama cha demokrasia na maendeleo(chadema) yamegeuka shubiri kwa wakazi wa jiji la Mwanza baada ya kuibuka mapambano makali baina ya waandamanaji hao na jeshi la polisi mkoani Mwanza na kusababisha polisi kutumia nguvu kuwatawanya wafuasi wa chama hicho.
Maandamano hayo
ya amani ambayo yalianzia katika eneo la Buzuruga nje kidogo ya jiji la Mwanza
yalikuw ayakiongozwa na wabunge Highness Kiwia wa Ilemela pamoja na Ezekiel
Wenje kuelekea katika viwanja vya Furahisha yalilenga kumshinikiza Mkuu wa Mkoa
wa Mwanza Ernest Ndikilo kutoa barua zinazodaiwa kuandikwa na ofisi ya Waziri
Mkuu Tamisemi kuwarejesha madiwani watatu waliotimuliwa katika Manispaa ya
Ilemela kutokana na kushindwa kuhudhuria vikao vitatu
mfululizo.
Polisi wenye
silaha pamoja na askari kanzu walianza kutanda katika eneo hilo la Furahisha
wakiongozwa na Mkuu wa upelelezi wa makosa ya jinai Mkoa wa Mwanza RCO Konyo
ambaye alikuwa akitumia gari lenye namba za usajili DK 068EXV aina ya Toyota
Land Cruiser
Maandamano yakipita barabara ya Balewa kuelekea barabara ya Makongoro hatimaye viwanja vya Furahisha Kirumba Mwanza.
Mtaa wa jiwe kuu kata ya Kitangiri na ujumbe wao.
Maandamano hayo ambayo awali yalionekana kana kwamba yangelimalizika salama yaliwasili katika viwanja vya Furahisha majira ya saa 5.38 huku yakiongozwa na gari la polisi lenye namba za usajili za nchi ya Uganda 779 UAG likiwa nimesheheni polisi wenye silaha nzito ikiwa ni pamoja na mabomu ya machozi na bunduki pamoja na askari kadhaa ambao walikuwa katikati ya maandamano hayo.
Askari polisi akiwaelekeza waandamanaji njia ya kuingia viwanja vya Furahisha jijini Mwanza.
Walioacha shughuli zao za kila siku waliungana na wale ambao walikuwa shughulini kutafuta kipato kama mama huyu mstari wa mbele kwenye maandamano.
Baada ya maandamano hayo kuwasili katika viwanja vya Furahisha kwa amani,waandamani hao ambao walikuwa na mabango mbalimbali yaliyosomeka kuwa ‘Matata hatutaki uendelee kuwa Meya wa Ilemela rudia kazi yako ya awali, na jingine Jaji Sumari tumechoka kuahirisha mara kw amara kesi dhidi ya Matata na jingine lililosomeka kuwa RD Ndikilo tunahitaji barua za kurejeshwa kwa madiwani wetu.
Hata hivyo tofauti na ilivyokuwa imetangazwa kuwa maandamano hayo ya amani yangelipokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Ernest Ndikilo,hakukuwa na kiongozi yoyote wa Serikali ambaye alikuwepo uwanjani hapo kupokea maandamano hayo.
Kufuatia
kutoonekana kwa kiongozi yoyote wa Serikali,viongozi wa chadema pamoja na
wabunge wao walikutana kwa faragha kwa dakika kadhaa kwa ajili ya kujua hatima
ya maandamano hayo ambapo Mbunge wa Nyamagana Ezekiel Wenje alipanda jukwaani
saa 6.45 na kuwaeleza maelfu ya waandamanaji kuwa wameamua kumtuma Mbunge wa
Ilemela Highnes Kiwia kwenda ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kuchukua majibu
kwa ajili ya kuwaletea wananchi walioandamana juu ya hatima ya madiwani
hao.
Chanzo:>GSengo
Chanzo:>GSengo
Sheikh Ponda Mtuhumiwa ghali zaidi
Inasemwa kwamba...
*Arushwa kwa helikopta hadi Morogoro
*Asomewa mashitaka ya uchocheziKATIBU wa Taasisi na Jumuiya za Kiislam Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda (54) jana alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Mkoa wa Morogoro akiwa chini ya ulinzi mkali baada ya kuwasili katika uwanja wa Gofu mjini Morogoro kwa helikopta ya polisi. Ponda alifikishwa mahakamani Morogoro,
baada ya mapema asubuhi jana kuachiwa huru katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kwa shtaka la kuhamasisha wafuasi wake kufanya fujo, kabla ya kukamatwa tena na polisi.
Akisoma mashitaka matatu dhidi ya Sheikh Ponda mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Mkoa wa Morogoro Richard Kabate, Mwanasheria wa Serikali, Bernard Kongola akiwa na wanasheria wenzake wa serikali, Gloria Rwakibalira na Akisa Mhando, alidai Agosti 10 mwaka huu katika eneo la Kiwanja cha Ndege Manispaa ya Morogoro, Ponda alitoa maneno ya uchochezi.
*Arushwa kwa helikopta hadi Morogoro
*Asomewa mashitaka ya uchocheziKATIBU wa Taasisi na Jumuiya za Kiislam Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda (54) jana alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Mkoa wa Morogoro akiwa chini ya ulinzi mkali baada ya kuwasili katika uwanja wa Gofu mjini Morogoro kwa helikopta ya polisi. Ponda alifikishwa mahakamani Morogoro,
baada ya mapema asubuhi jana kuachiwa huru katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kwa shtaka la kuhamasisha wafuasi wake kufanya fujo, kabla ya kukamatwa tena na polisi.
Akisoma mashitaka matatu dhidi ya Sheikh Ponda mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Mkoa wa Morogoro Richard Kabate, Mwanasheria wa Serikali, Bernard Kongola akiwa na wanasheria wenzake wa serikali, Gloria Rwakibalira na Akisa Mhando, alidai Agosti 10 mwaka huu katika eneo la Kiwanja cha Ndege Manispaa ya Morogoro, Ponda alitoa maneno ya uchochezi.
Monday, August 19, 2013
Wafuasi wa Ponda wapiga kambi Segerea
Ofisa Habari wa Magereza, Deodatus Kizinja alisema kisheria ni watu wawili tu kwa mwezi wanaoruhusiwa kumwona mahabusu mmoja.
Dar es Salaam.
Saturday, August 17, 2013
ARSENAL YAANZA VIBAYA
Msimu wa Ligi Kuu ya soka ya England umeanza kwa kishindo kwa Aston Villa kuwashtua Arsenal kwa mabao 3-1 katika uwanja wa Emirates.
MAJAMBAZI WAWILI WAUWAWA NA WANANCHI JIJINI MWANZA
WATU wawili wanaodaiwa kuwa ni majambazi wameuawa na wananchi mkoani Mwanza wakati wakijaribu kuiba katika kituo cha mafuta cha GBP.
Akizungunzumza na mwandishi wetu, shuhuda mmoja ambaye alikuwa eneo la tukio hilo alisema kuwa majambazi hao walifika katika kituo hicho cha mafuta wakitaka kuiba
LIGI KUU UINGEREZA KUANZA KUTIMUA VUMBI LEO
Ligi ya Uingereza yenye mashabiki wengi duniani na inayofuatiliwa kwa karibu sana hapa kwetu Tanzania,inaendelea leo.
Timu nyingi zitakua viwanjani kutafuta matokeo mazuri huku ligi ikiwa inaenda ukingoni,baadhi ya timu zinahitaji matokeo mazuri ili kumaliza nafasi bora za juu wakati nyingine zikijaribu kujinasua na hatari ya kushuka daraja.
Mechi za leo jumamosi:
Friday, August 16, 2013
TASWIRA YA MASHINDANO YA DANSI FIESTA KIGOMA 2013
Mwanadada mwenyeji wa Kigoma mjini akitoa maoni yake kuhusu
makundi yaliyoshiriki Dansi La Fiesta 2013 siku ya Alhamisi 17 August
2013 ndani ya club Lake View Kigoma mjini.
Alex Mzambele akiwa na Adam
Mchomvu wakitangaza washindi wa Dansi La Fiesta usiku wa Alhamisi 15
August ndani ya club ya Lake View Kigoma mjini.
"KIAMA CHA WASANII MAMISS KIMETIMIA.....FANI IMEWASHINDA NA WAMEKIMBILIA KUJIUZA"...
BAADA ya wasanii waliotoka kwenye mashindano ya u-miss kuvuma sana na
kupotea ghafla, msanii mkongwe kunako gemu la filamu Bongo, Salome
Ndumbagwe Misayo ‘Thea’ amefunguka na kudai
Hit list ya Fiesta Kigoma yatembelea kaburi la Ngwear kabla ya safari
Wednesday, August 14, 2013
Yanga noma, yaibwaga Simba vita ya Ngasa
Subscribe to:
Posts (Atom)