tag:blogger.com,1999:blog-13945706242717590892024-03-12T20:32:41.723-07:00kamzidi.comthe home delightsAnonymoushttp://www.blogger.com/profile/05709654090042978674noreply@blogger.comBlogger19125tag:blogger.com,1999:blog-1394570624271759089.post-33448954205468422452013-10-14T07:32:00.001-07:002013-10-14T07:34:49.475-07:00MBIO ZA MWENGE WA UHURU ZAMALIZIKA ,MKOA WA IRINGA WAKABIDHI TAIFANI ASUBUHI YA LEO<h3 class="post-title entry-title" itemprop="name">
</h3>
<div class="post-header">
</div>
<div style="background-color: white; clear: both; color: #222222; text-align: center;">
<a href="http://2.bp.blogspot.com/-Mt7mdEHvwbg/Ult3XCnBBgI/AAAAAAABYTc/0BovlWIB0lQ/s1600/IMG_0719.JPG" style="color: #1155cc; margin-left: 1em; margin-right: 1em;" target="_blank"><b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img border="0" src="http://2.bp.blogspot.com/-Mt7mdEHvwbg/Ult3XCnBBgI/AAAAAAABYTc/0BovlWIB0lQ/s320/IMG_0719.JPG" height="179" width="320" /></span></i></b></a></div>
<div style="text-align: center;">
<b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white; color: #222222;"> Mwenge
wa uhuru ukiwasili katika uwanja wa kilele cha mbio za mwenge
kitaifa uwanja wa Samora ukitokea viwanja vya mkesha Mwembetogwa
ambako ulikesha kwa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa</span></span></i></b></div>
<div style="background-color: white; clear: both; color: #222222; text-align: center;">
<a href="http://3.bp.blogspot.com/-m3hKsWrDlQ0/Ult3aqMIJHI/AAAAAAABYTk/pRMS_XC7LIk/s1600/IMG_0721.JPG" style="color: #1155cc; margin-left: 1em; margin-right: 1em;" target="_blank"><b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img border="0" src="http://3.bp.blogspot.com/-m3hKsWrDlQ0/Ult3aqMIJHI/AAAAAAABYTk/pRMS_XC7LIk/s320/IMG_0721.JPG" height="179" width="320" /></span></i></b></a></div>
<div style="text-align: center;">
<b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white; color: #222222;"> Viongozi wa serikali ya mkoa wa Iringa na wananchi wakisubiri kupokea mwenge kutoka Manispaa ya Iringa leo</span></span></i></b></div>
<div style="background-color: white; clear: both; color: #222222; text-align: center;">
<a href="http://2.bp.blogspot.com/-w05mowUkkF0/Ult3VBbJ77I/AAAAAAABYTU/gvLyKd60LxA/s1600/IMG_0724.JPG" style="color: #1155cc; margin-left: 1em; margin-right: 1em;" target="_blank"><b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img border="0" src="http://2.bp.blogspot.com/-w05mowUkkF0/Ult3VBbJ77I/AAAAAAABYTU/gvLyKd60LxA/s320/IMG_0724.JPG" height="179" width="320" /></span></i></b></a></div>
<div style="text-align: center;">
<b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white; color: #222222;"> Ulinzi mkali uwanja wa samora leo </span></span></i></b></div>
<div style="background-color: white; clear: both; color: #222222; text-align: center;">
<a href="http://4.bp.blogspot.com/-s361X0XPzKg/Ult3uuGSeqI/AAAAAAABYTs/4HUMWTO3nlg/s1600/IMG_0728.JPG" style="color: #1155cc; margin-left: 1em; margin-right: 1em;" target="_blank"><b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img border="0" src="http://4.bp.blogspot.com/-s361X0XPzKg/Ult3uuGSeqI/AAAAAAABYTs/4HUMWTO3nlg/s320/IMG_0728.JPG" height="179" width="320" /></span></i></b></a></div>
<div style="text-align: center;">
<b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white; color: #222222;"> Mkuu
wa mkoa wa Iringa Dr Christine Ishengoma kulia akipokea mwenge
kutoka kwa mkuu wa wilaya ya Iringa Dr Leticia Warioba baada ya
Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kumaliza mbio hizo kwa kuzindua
miradi 8 yenye thamani ya Tsh milioni 940.2</span></span></i></b><br />
<a name='more'></a></div>
<div style="background-color: white; clear: both; color: #222222; text-align: center;">
<a href="http://3.bp.blogspot.com/-ok1QIjCqe1c/Ult35m5_3OI/AAAAAAABYT0/VgaO29ni918/s1600/IMG_0729.JPG" style="color: #1155cc; margin-left: 1em; margin-right: 1em;" target="_blank"><b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img border="0" src="http://3.bp.blogspot.com/-ok1QIjCqe1c/Ult35m5_3OI/AAAAAAABYT0/VgaO29ni918/s320/IMG_0729.JPG" height="179" width="320" /></span></i></b></a></div>
<div style="text-align: center;">
<b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white; color: #222222;"> Mkuu wa mkoa wa Iringa Dr Ishengoma akiwa amepokea mwenge huo tayari kluukabidhi Taifa</span></span></i></b></div>
<div style="background-color: white; clear: both; color: #222222; text-align: center;">
<a href="http://3.bp.blogspot.com/-l2C1Zwj-ul4/Ult4F9vSbWI/AAAAAAABYT8/UedIOh5N59E/s1600/IMG_0732.JPG" style="color: #1155cc; margin-left: 1em; margin-right: 1em;" target="_blank"><b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img border="0" src="http://3.bp.blogspot.com/-l2C1Zwj-ul4/Ult4F9vSbWI/AAAAAAABYT8/UedIOh5N59E/s320/IMG_0732.JPG" height="179" width="320" /></span></i></b></a></div>
<div style="text-align: center;">
<b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white; color: #222222;"> Viongozi
wa Kitaifa wakiongozwa na waziri wa habari vijana utamaduni na michezo
Dr Fenela Mkangala wa tatu kulia wakisubiri kukabidhiwa mwenge leo
uwanja wa samora</span></span></i></b></div>
<div style="background-color: white; clear: both; color: #222222; text-align: center;">
<a href="http://1.bp.blogspot.com/-jrfzotxuvVQ/Ult4WJZ4t6I/AAAAAAABYUE/Cdspf2njxuk/s1600/IMG_0733.JPG" style="color: #1155cc; margin-left: 1em; margin-right: 1em;" target="_blank"><b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img border="0" src="http://1.bp.blogspot.com/-jrfzotxuvVQ/Ult4WJZ4t6I/AAAAAAABYUE/Cdspf2njxuk/s320/IMG_0733.JPG" height="179" width="320" /></span></i></b></a></div>
<div style="text-align: center;">
<b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white; color: #222222;"> Mkuu wa mkoa wa Iringa Dr Ishengoma akisoma taarifa ya miradi iliyopitiwa na mbio za mwenge mwaka 2013</span></span></i></b></div>
<div style="background-color: white; clear: both; color: #222222; text-align: center;">
<a href="http://4.bp.blogspot.com/-qtTue5k-ZMk/Ult4ak3FWOI/AAAAAAABYUM/MSrF4rWCi28/s1600/IMG_0737.JPG" style="color: #1155cc; margin-left: 1em; margin-right: 1em;" target="_blank"><b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img border="0" src="http://4.bp.blogspot.com/-qtTue5k-ZMk/Ult4ak3FWOI/AAAAAAABYUM/MSrF4rWCi28/s320/IMG_0737.JPG" height="179" width="320" /></span></i></b></a></div>
<div style="text-align: center;">
<b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white; color: #222222;"> Mkuu wa mkoa wa Iringa Dr Ishengoma akijiandaa kumkabidhi mwenge waziri Dr Mkangala leo uwanja wa Samora</span></span></i></b></div>
<div style="background-color: white; clear: both; color: #222222; text-align: center;">
<a href="http://1.bp.blogspot.com/--jZU0341_0s/Ult4tOKAwrI/AAAAAAABYUU/3EX79GJzbTM/s1600/IMG_0739.JPG" style="color: #1155cc; margin-left: 1em; margin-right: 1em;" target="_blank"><b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img border="0" src="http://1.bp.blogspot.com/--jZU0341_0s/Ult4tOKAwrI/AAAAAAABYUU/3EX79GJzbTM/s320/IMG_0739.JPG" height="179" width="320" /></span></i></b></a></div>
<div style="text-align: center;">
<b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white; color: #222222;"> Mkuu
wa mkoa wa Iringa Dr Christine Ishengoma kulia akimkabidhi mwenge wa
uhuru waziri Dr Mkangala leo uwanja wa Samora kabla ya waziri huyo
kuukabidhi mwenge huo kwa vijana ili kuja kuukabidhi kwa rais Dr
Kikwete kwa kuuzima mapema leo</span></span></i></b></div>
<div style="background-color: white; clear: both; color: #222222; text-align: center;">
<a href="http://4.bp.blogspot.com/-zBHlzIviM3c/Ult432bpQqI/AAAAAAABYUc/qjt4BGAO0TA/s1600/IMG_0740.JPG" style="color: #1155cc; margin-left: 1em; margin-right: 1em;" target="_blank"><b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img border="0" src="http://4.bp.blogspot.com/-zBHlzIviM3c/Ult432bpQqI/AAAAAAABYUc/qjt4BGAO0TA/s320/IMG_0740.JPG" height="179" width="320" /></span></i></b></a></div>
<div style="text-align: center;">
<b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br style="background-color: white; color: #222222;" /></span></i></b></div>
<div style="background-color: white; clear: both; color: #222222; text-align: center;">
<a href="http://1.bp.blogspot.com/-Jtnqr3BwW1c/Ult49vY7zbI/AAAAAAABYUk/YwoAxMkszI8/s1600/IMG_0744.JPG" style="color: #1155cc; margin-left: 1em; margin-right: 1em;" target="_blank"><b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img border="0" src="http://1.bp.blogspot.com/-Jtnqr3BwW1c/Ult49vY7zbI/AAAAAAABYUk/YwoAxMkszI8/s320/IMG_0744.JPG" height="240" width="320" /></span></i></b></a></div>
<div style="text-align: center;">
<b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white; color: #222222;"> Waziri Dr Mkangala akivipongeza vyombo vya ulinzi mkoa wa Iringa </span></span></i></b></div>
<div style="background-color: white; clear: both; color: #222222; text-align: center;">
<a href="http://3.bp.blogspot.com/-B9NPtMnIL_0/Ult5P3iOmiI/AAAAAAABYUs/pXR1u9VW7nk/s1600/IMG_0749.JPG" style="color: #1155cc; margin-left: 1em; margin-right: 1em;" target="_blank"><b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img border="0" src="http://3.bp.blogspot.com/-B9NPtMnIL_0/Ult5P3iOmiI/AAAAAAABYUs/pXR1u9VW7nk/s320/IMG_0749.JPG" height="179" width="320" /></span></i></b></a></div>
<div style="text-align: center;">
<b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white; color: #222222;"> kamanda
wa polisi mkoa wa Iringa Ramadhan Mungi kulia akimpongeza mkuu wa FFU
mkoa wa Iringa S.A Mnunka kwa kazi nzuri ya kukimbiza mwenge vizuri
mkoa wa Iringa</span></span></i></b></div>
<div style="background-color: white; clear: both; color: #222222; text-align: center;">
<a href="http://3.bp.blogspot.com/-80c97CBjW5w/Ult5cETLK5I/AAAAAAABYU8/ksOiNuddMso/s1600/IMG_0751.JPG" style="color: #1155cc; margin-left: 1em; margin-right: 1em;" target="_blank"><b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img border="0" src="http://3.bp.blogspot.com/-80c97CBjW5w/Ult5cETLK5I/AAAAAAABYU8/ksOiNuddMso/s320/IMG_0751.JPG" height="179" width="320" /></span></i></b></a></div>
<div style="text-align: center;">
<b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br style="background-color: white; color: #222222;" /></span></i></b></div>
<div style="background-color: white; clear: both; color: #222222; text-align: center;">
<a href="http://3.bp.blogspot.com/-LkuE5fik4Cg/Ult5aEcNuWI/AAAAAAABYU0/DYrrhWkuqqc/s1600/IMG_0752.JPG" style="color: #1155cc; margin-left: 1em; margin-right: 1em;" target="_blank"><b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img border="0" src="http://3.bp.blogspot.com/-LkuE5fik4Cg/Ult5aEcNuWI/AAAAAAABYU0/DYrrhWkuqqc/s320/IMG_0752.JPG" height="179" width="320" /></span></i></b></a></div>
<div style="text-align: center;">
<b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br style="background-color: white; color: #222222;" /></span></i></b></div>
<div style="background-color: white; clear: both; color: #222222; text-align: center;">
<a href="http://3.bp.blogspot.com/-E0fMr7kPpsA/Ult5oWg32eI/AAAAAAABYVE/2mm7gilxrIM/s1600/IMG_0753.JPG" style="color: #1155cc; margin-left: 1em; margin-right: 1em;" target="_blank"><b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img border="0" src="http://3.bp.blogspot.com/-E0fMr7kPpsA/Ult5oWg32eI/AAAAAAABYVE/2mm7gilxrIM/s320/IMG_0753.JPG" height="179" width="320" /></span></i></b></a></div>
<div style="text-align: center;">
<b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br style="background-color: white; color: #222222;" /></span></i></b></div>
<div style="background-color: white; clear: both; color: #222222; text-align: center;">
<a href="http://1.bp.blogspot.com/-VBhjA79_uUc/Ult5vXTnqGI/AAAAAAABYVM/Nt5BbUlRae4/s1600/IMG_0756.JPG" style="color: #1155cc; margin-left: 1em; margin-right: 1em;" target="_blank"><b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img border="0" src="http://1.bp.blogspot.com/-VBhjA79_uUc/Ult5vXTnqGI/AAAAAAABYVM/Nt5BbUlRae4/s320/IMG_0756.JPG" height="179" width="320" /></span></i></b></a></div>
<span style="background-color: white; color: #222222;"><b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Waziri Dr Mkangala kulia akiwa na viongozi wa mkoa wa Iringa </span></i></b></span><br />
<br />
<span style="background-color: white; color: #222222;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Source:> Michuzi</span><b><i><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"> </span></i></b></span>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/05709654090042978674noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1394570624271759089.post-46535471874707534132013-09-15T04:48:00.003-07:002013-09-15T04:48:50.624-07:00JESHI LA RWANDA LAELEKEZWA CONGO<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://2.bp.blogspot.com/-OAR76m-UcCM/UjWdsgIG5HI/AAAAAAAAAVQ/fNJTza7xc94/s1600/mtanzania.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://2.bp.blogspot.com/-OAR76m-UcCM/UjWdsgIG5HI/AAAAAAAAAVQ/fNJTza7xc94/s1600/mtanzania.jpg" height="320" width="227" /><em><strong> </strong></em></a></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<em><strong>Vikosi vyake vyasogezwa mstari wa mbele<br />*SADC yakaa chonjo, yaionya tena Kigali </strong></em><br />VIKOSI
vya wanajeshi vya Serikali ya Rwanda vyenye silaha za kivita, sasa
vimesogezwa katika eneo la mpaka wa nchi hiyo na Jamhuri ya Kidemokrasia
ya Kongo (DRC). Taarifa ya kusogezwa kwa vikosi hivyo mstari wa mbele
katika eneo la mpakani, imetolewa jana na Jumuiya ya Maendeleo Kusini
mwa Afrika (SADC).</div>
<a name='more'></a><br /><br />Katika taarifa yake hiyo, SADC imeeleza
wasiwasi wake kuhusu hatua ya Rwanda kusogeza mbele vikosi vyake vya
kijeshi vilivyo na zana za kivita kwenye mpaka wake na Kongo.<br />
<br />Mshtuko huo wa SADC umekuja ikiwa ni siku chache tangu gazeti dada
la MTANZANIA Jumatano, liripoti kwa mara ya kwanza juu ya kuwapo kwa
taarifa za Jumuiya hiyo kutuma ujumbe wa onyo kwa Rais Paul Kagame wa
Rwanda kuachana na fikra zozote mbaya dhidi ya Tanzania.<br /><br />Onyo
hilo, lilitolewa baada ya kupatikana kwa taarifa kuwa Serikali ya Kigali
ilikuwa imepeleka vikosi vyake katika mpaka wake na Kongo, kwa ajili ya
kupambana na waasi. <br /><br />Ni hatua hiyo ya Serikali ya Kigali ndiyo
iliyoilazimu SADC kutuma ujumbe mkali wa kumuonya Kagame kupitia kwa
mmoja wa mawaziri wa nchi yake, aliyekuwa ameambatana naye kwenye
mkutano wa viongozi wa nchi za Maziwa Makuu uliofanyika hivi karibuni
nchini Uganda, ambao pia ulihudhuriwa na Rais Jakaya Kikwete.<br /><br />Ikiwa
ni takribani wiki moja baada ya kupatikana kwa taarifa za kutolewa kwa
onyo hilo, jana mtandao wa Fox news ulikariri taarifa mpya ya SADC
kupitia moja ya chombo chake, ikieleza kuzuka kwa hali ya wasiwasi baada
ya kubainika kuwa Rwanda imeviamuru vikosi vyake vya jeshi kusogea eneo
la mpaka wake na Kongo.<br /><br />Ikitumia maneno ya kidiplomasia lakini
yenye taswira ya kuonya, SADC kupitia taarifa yake hiyo iliyotolewa
katika mkutano wake uliofanyika Namibia na kuhudhuriwa pia na Rais wa
Kongo, Joseph Kabila, ilisema kuwa haifikirii kama Rwanda itajaribu
kuivamia Kongo.<br /><br />Taarifa hiyo inaitaka Rwanda kushiriki kuleta amani, usalama na utulivu ndani ya Kongo.<br /><br />Katikati
ya wiki hii, gazeti dada la MTANZANIA Jumatano likikariri chanzo kimoja
cha habari kilichokuwa kwenye mkutano wa viongozi wa nchi za Maziwa
Makuu uliofanyika Uganda, kuwa ujumbe wa SADC kwa Rwanda alipatiwa mmoja
wa Mawaziri aliyekuwa ameambatana na Rais Kagame muda mfupi baada ya
kukutana na Rais Kikwete.<br /><br />“Uamuzi wa Tanzania na Afrika Kusini
kupeleka majeshi DRC, ni msimamo wa pamoja wa SADC. Vitisho vyovyote
dhidi ya Tanzania au uvamizi wa kijeshi utachukuliwa ni uvamizi dhidi ya
SADC, hivyo tutakuwa tayari kuingia vitani kupigana upande wa
Tanzania.”<br /><br />Hatua hiyo ya SADC kuikamia Rwanda, ilithibitishwa na
taarifa ambazo gazeti hili liliziona kwenye mtandao wa Intaneti kupitia
gazeti la The Namibian la nchini Namibia, ambalo liliandika kuwa, Jeshi
la nchi hiyo (NDF), ambalo pamoja na majeshi ya nchi nyingine wanachama
linaunda kikosi maalumu cha Jeshi la SADC, lilikuwa limeanza kushiriki
mazoezi ya Jangwani karibu na Walvis Bay, yatakayodumu hadi Oktoba 15
mwaka huu.<br /><br />Ilielezwa kuwa wakati mazoezi hayo yakiendelea, Mkuu
wa majeshi ya Namibia (NDF), Luteni Jenerali, Epafras Ndaitwah,
aliwakumbusha wapiganaji hao kuwa kwa sasa wanachama wenzao, wakiwemo
wanajeshi wa Tanzania, wanapambana na maadui wa amani nchini Kongo na
kwamba nao ni lazima wajiandae kwa hali yoyote ambayo haitabiriki.<br /><br />Vikosi
vya Kongo, vinavyoungwa mkono na vile vya Umoja wa Mataifa vilianzisha
mapambano mapya dhidi ya waasi wa M23 mwishoni mwa mwezi uliopita huko
Kaskazini Mashariki mwa Kongo.<br /><br />Baada ya kupigana kwa mafanikio
makubwa, SADC ilivipongeza vikosi vya Serikali ya Kongo na Brigedia
inayoongozwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ya FIB kwa
kuendelea kutumia shinikizo la kijeshi dhidi ya waasi wa M23 na vikosi
vingine vilivyoko Mashariki mwa Kongo.<br /><br />Tanzania, Malawi na Afrika
Kusini, kwa pamoja zimetoa majeshi yao yanayounda brigedia ya wanajeshi
wapatao 3,000 waliopewa mamlaka ya kupambana na vikosi vya waasi kwa
kutumia nguvu. <br /><br />Nchi zote hizo tatu zilikuwa zikiwasilishwa katika mkutano huo uliofanyika nchini Namibia.<br /><br />Umoja wa Mataifa umekuwa ukiishutumu Rwanda kwa kuwaunga mkono waasi wa M23, madai ambayo nchi hiyo imekuwa ikiyapinga.<br /><br />Hata
hivyo, waasi hao katika kujibu mashambulizi wamekuwa wakilishutumu
Jeshi la Kongo kwa kuunganisha nguvu na kikundi cha waasi cha Kihutu cha
FDLR, kinachopambana kutoka Mashariki mwa Kongo ambapo wanajeshi wake
wengi wanaounda kikosi hicho, wanadaiwa kukimbia mauaji ya halaiki ya
Rwanda yaliyotokea mwaka 1994.<br /><br />Mazungumzo kati ya waasi na
Serikali ya Kongo yalianza tena tangu Jumanne, baada ya kukwama mwezi
Mei, kabla ya kuanza tena sasa baada ya kuibuka mapambano.<br /><br />Wakati
huo huo, juzi bomu dogo lililorushwa mjini Kigali liliua mtu mmoja na
kujeruhi wengine 14 zikiwa zimesalia siku mbili tu kabla ya kufanyika
kwa uchaguzi wa wabunge.<br /><br />Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini
Rwanda, Damas Gatare alisema bomu hilo lilirushwa saa 12:30 jioni,
katika eneo la sokoni lenye watu wengi.<br /><br />Gatare alisema kuwa watu watatu wamekamatwa kutokana na tukio hilo na kwamba uchunguzi unaendelea.<br /><br />Hakuna
yeyote anayeshutumiwa katika shambulio hili la sasa, lakini katika
matukio mengine mawili kama hayo yaliyotokea mwezi Machi na Julai mwaka
huu Serikali imekuwa ikilishutumu kundi la waasi wa FDLR kuhusika.<br /><br />Rwanda
inatarajia kufanya uchaguzi wa wabunge kesho, uchaguzi ambao
unatarajiwa kutawaliwa na chama tawala cha Rais Kagame cha Rwandan
Patriotic Front (RPF).
<br />
<div id="jc">
<div id="comments">
<br /><div class="comments-list" id="comments-list">
<div class="odd" id="comment-item-4541">
<div class="rbox">
<div class="rbox_tr">
<div class="rbox_tl">
<div class="rbox_t">
Chanzo:> Mtanzania</div>
</div>
</div>
</div>
</div>
</div>
</div>
</div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/05709654090042978674noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1394570624271759089.post-3506839847485648402013-08-28T04:54:00.002-07:002013-08-28T04:54:11.688-07:00ALIYEMCHANA KWA CHUPA AUNT EZEKIEL NI HUYU HAPA.<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://1.bp.blogspot.com/-AAUsoQHQ1IM/Uh3kWQt2G6I/AAAAAAAAAKk/E9mhRToolac/s1600/Aunty-akiwa-kitandani.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://1.bp.blogspot.com/-AAUsoQHQ1IM/Uh3kWQt2G6I/AAAAAAAAAKk/E9mhRToolac/s1600/Aunty-akiwa-kitandani.jpg" /></a></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<br /></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.44444465637207px; line-height: 22.22222328186035px;">Mwanamke mmoja amabye amejulikana kwa jina moja tu la Yvonne ndiye anayedaiwa kumchana kwa chupa muigizaji Aunt Ezekiel juzi usiku katika Club Billicanas. Inadaiwa siku za nyuma Aunt Ezekiel aliwahi kumchukulia Yvonne mwanaume wake na waliingia katika mzozo hivyo inawezekana Yvonne amelipiza kisasi ingawa Aunt alisema walishayamaliza. Yvonne alitaka kumpiga chupa ya uso Aunt sema akaiwahi kuizuia kwa mkono na ndiyo ikamchana. akizungumza na paparazi wa GPL alisema...........</span><br />
<a name='more'></a><br style="background-color: white; color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.44444465637207px; line-height: 22.22222328186035px;" /><br style="background-color: white; color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.44444465637207px; line-height: 22.22222328186035px;" /><span style="background-color: white; color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.44444465637207px; line-height: 22.22222328186035px;">"Risasi: Madai ya Yvonne ni nini hasa?</span><br style="background-color: white; color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.44444465637207px; line-height: 22.22222328186035px;" /><br style="background-color: white; color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.44444465637207px; line-height: 22.22222328186035px;" /><span style="background-color: white; color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.44444465637207px; line-height: 22.22222328186035px;">Aunt: Yaani hata mimi sijui, nilishangaa sana. Kwanza lengo lake lilikuwa kunijeruhi kwenye uso, lakini niliiona chupa nikaikinga na mkono ndiyo maana ikaniumiza.</span><br style="background-color: white; color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.44444465637207px; line-height: 22.22222328186035px;" /><br style="background-color: white; color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.44444465637207px; line-height: 22.22222328186035px;" /><span style="background-color: white; color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.44444465637207px; line-height: 22.22222328186035px;">Risasi: Siku za nyuma uliwahi kuingia kwenye mzozo na Yvonne kwamba unamchukulia mpenzi wake aitwaye Joff, siyo kwamba ndiyo kisasi?</span><br style="background-color: white; color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.44444465637207px; line-height: 22.22222328186035px;" /><br style="background-color: white; color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.44444465637207px; line-height: 22.22222328186035px;" /><span style="background-color: white; color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.44444465637207px; line-height: 22.22222328186035px;">Aunt: Yale mambo yalipita, yeye ana maisha yake na mimi nina yangu."</span><br style="background-color: white; color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.44444465637207px; line-height: 22.22222328186035px;" /><br style="background-color: white; color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.44444465637207px; line-height: 22.22222328186035px;" /><span style="background-color: white; color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.44444465637207px; line-height: 22.22222328186035px;">Baada ya tukio hilo muigizaji huyo alienda hospitali kutibiwa na Yvonne anashikiliwa kituo cha polisi Oysterbay baada ya vurugu kubwa kuzuka ukumbini na show kusimama kwa muda.</span><br />
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.44444465637207px; line-height: 22.22222328186035px;"><br /></span>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 14.44444465637207px; line-height: 22.22222328186035px;">Chanzo:> Swahiliworldplanet.</span>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/05709654090042978674noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1394570624271759089.post-83877618714423219492013-08-28T03:04:00.000-07:002013-08-28T04:55:07.804-07:00KAGAME AKATA MGUU TANZANIA<img alt="Banner" src="http://www.mtanzania.co.tz/images/banners/010812.jpg" height="320" width="217" /><br />
<br />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">RAIS Paul Kagame wa Rwanda, sasa hayupo tayari kukanyaga ardhi ya Tanzania kutokana na kile kinachoonekana kuwa ni mgogoro wa kidiplomasia unaoendelea kati yake na Rais Jakaya Kikwete. MTANZANIA Jumatano limedokezwa.</span><br />
<br style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;" />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">Wakati hayo yakifikia hapo, kikao cha Bunge la Afrika Mashariki (EALA), linakoketi mjini Arusha kilivunjika baada ya Spika wa bunge hilo, Magreth Zziwa, kugongana kauli na Mbunge mmoja wa Rwanda jambo lililosababisha wabunge wote wa Rwanda kususia kikao na kutoka nje ya ukumbi wa Bunge. </span><br />
<a name='more'></a><br style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;" />
<br style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;" />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">Mwenendo wa hayo yaliyojitokeza jana katika Bunge la Afrika Mashariki hadi kikao kuvunjika, msingi wake ni mgogoro unaowagusa wakuu hao wawili wa dola.</span><br />
<br style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;" />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">Habari zilizolifikia gazeti hili toka katika vyanzo vyake mbalimbali vilivyo ndani na nje ya mipaka ya Tanzania, lakini pia katika vikao vya Bunge hilo la Afrika Mashariki vinavyoendelea jijini Arusha zinaeleza kuwa, Rais Kagame hata kama ataalikwa kuja nchini leo, hatakuja. </span><br />
<br style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;" />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">MTANZANIA Jumatano limedokezwa kuwa jambo hilo tayari limethibitishwa na Wabunge wa Rwanda wanaohudhuria vikao vya (EALA).</span><br />
<br style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;" />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">Taarifa toka ndani ya Bunge hilo zilizolifikia MTANZANIA Jumatano zinaeleza kuwa, tayari mzimu wa msigano huo uliojitokeza baina ya wakuu hao wawili wa dola, umeanza kuwavuruga wabunge hao baada ya jana kikao cha Bunge hilo kuvunjika, kutokana na kuibuliwa kwa hoja ya kutaka vikao vya Bunge hilo kufanyika kwa utaratibu wa kuzunguka kila nchi.</span><br />
<br style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;" />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">Zinaeleza zaidi kuwa; Ni katika hoja hiyo wabunge wa Kenya na Rwanda walionekana kuungana na kuwa kitu kimoja na hivyo kususia kikao hicho cha jana, jambo ambalo lilimlazimisha Spika wa Bunge hilo, Magreth Zziwa kuvunja kikao. </span><br />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;"><br /></span>
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">MTANZANIA Jumatano limedokezwa kuwa, wabunge hao walianza kutoka ndani ya kikao kilichokuwa kikiendelea jana, baada ya mmoja wa wabunge hao kutoka Rwanda, James Ndahiro kuomba mwongozo kwa Spika.</span><br />
<br style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;" />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">Habari zinaeleza kuwa chanzo cha mbunge huyo wa Rwanda kuomba mwongozo, kilitokana na Mbunge kutoka Kenya, Peter Mathuki kutoa hoja ya kutaka suala la vikao hivyo kufanyika kila nchi wanachama, lijadiliwe.</span><br />
<br style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;" />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">“Sasa baada ya mbunge huyo wa Kenya kutaka suala la vikao vya Bunge kufanyika kila nchi wanachama yaani ‘rotation’ lijadiliwe pale kikaoni, Spika akamwambia hilo ni jambo la haraka sana na ikizingatiwa imebaki wiki moja vikao viishe na kwamba kama anataka lizungumziwe, alilete kama ‘motion’.</span><br />
<br style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;" />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">“Baada ya Spika kujibu hivyo, ndipo mbunge wa Rwanda akaomba mwongozo kwa Spika…Spika akamjibu kwamba anataka mwongozo gani tena wakati ameshamjibu yule wa Kenya, ndipo wabunge wa Rwanda wakatoka ndani ya kikao wakisema hawataki kuburuzwa huku wakifuatiwa na wa Kenya.”</span><br />
<br style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;" />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">Taarifa zaidi zilieleza kuwa kitendo hicho ambacho kilisababisha kikao kuvunjika, kilikwamisha kuapishwa kwa Waziri mpya wa EALA kutoka Rwanda.</span><br />
<br style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;" />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">Ilielezwa kuwa baada ya wabunge hao kutoka, Spika aliahirisha kikao kwa kutumia kanuni kwamba, baada ya dakika 15 warudi.</span><br />
<br style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;" />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">“Baada ya dakika 15 tuliporudi, wabunge wakawa wachache huku wale wa Rwanda na Kenya hawakurudi tena na waliorudi walikuwa jumla 13 pamoja na Spika kati ya wabunge 45. Ndipo Spika akasema hatuwezi kuendelea na kikao kutokana na uchache wa wabunge, hivyo kikaahirishwa hadi kesho (leo),” kilisema chanzo chetu hicho.</span><br />
<br style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;" />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">Hata hivyo wakati hayo yanajitokeza, utaratibu wa vikao vya Bunge la Afrika Mashariki unaelekeza kuwa vitafanyikia Arusha ambako ni makao makuu. </span><br />
<br style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;" />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">Habari zilizolifikia gazeti hili zinaeleza kuwa, Kamati ya kuratibu Mambo ya Bunge iliyokutana Entebe Uganda, ilipanga kuwa kwa mwaka vikao vya Bunge vitakuwa sita huku vitatu vikifanyika Arusha ambako ni makao makuu, kimoja Nairobi na vingine viwili bado haijajulikana.</span><br />
<br style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;" />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">Pamoja na Kamati kufikia uamuzi huo, bado inaelezwa kuwa baadhi ya wabunge wanapinga vikao hivyo kuendelea kufanyika na hasa wa Rwanda ambao inadaiwa kuwa wamepewa maagizo fulani kutoka kwenye Serikali yao </span><br />
<br style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;" />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">Mbali na hilo la vikao, nyufa nyingine zinazoelezwa kuhatarisha msingi wa Bunge hilo, ni kile kinachodaiwa kuwapo kwa utendaji wa upendeleo wa Spika, Margaret Zziwa.</span><br />
<br style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;" />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">Kwamba Spika Zziwa amekuwa akishutumiwa kupanga safari za nje kwa upendeleo na kwamba hazieleweki zinapangwaje.</span><br />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;"><br /></span>
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">Wakati hayo yakijiri, imeelezwa kuwa hata Rais Kagame, akialikwa kuhutubia vikao vya Bunge hilo, hataweza kuja nchini kutokana na mgogoro uliopo. </span><br />
<br style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;" />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">Taarifa zilizolifikia gazeti hili toka ndani ya bunge la EALA, zinaeleza kuwa wabunge kutoka Rwanda wananung’unika vikao kufanyika Arusha na wameeleza bayana kwamba itakuwa vigumu kwa rais wao kuja hapa nchini endapo ataalikwa na Spika wa Bunge hilo kuja kuhutubia katika vikao hivyo.</span><br />
<br style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;" />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">“Kwa kawaida vikao vya bunge vinapofanyika, mara nyingi anayehutubia vikao ni Mwenyekiti wa EAC, ambaye kwa sasa ni Yoweri Museveni na rais wa nchi ambako vikao vinafanyika, lakini wakati mwingine spika anaweza akaamua na kumteua rais kutoka nchi yoyote.</span><br />
<br style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;" />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">“Sasa Spika akimteua Kagame ni dhahiri itakuwa ngumu kuja Tanzania kutokana na mgogoro unaoendelea baina yake na Rais Kikwete,” kilisema chanzo chetu hicho cha habari.</span><br />
<br style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;" />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">Msigano wa kauli baina ya viongozi hao wakuu wa dola, ulijitokeza baada ya Rais Kikwete kutoa ushauri kwa Rais Kagame wa kukaa meza moja na waasi wa FDLR.</span><br />
<br style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;" />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">Hata hivyo baada ya siku chache, Kagame alinukuliwa na vyombo mbalimbali vya habari nchini Rwanda akimkejeli Kikwete hadi kufikia kutoa kauli zenye vitisho dhidi yake.</span><br />
<br style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;" />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">Tangu Rais Kikwete alipotoa ushauri huo, Kagame amekuwa akiendelea kutoa lugha zisizo na staha kwa Tanzania.</span><br />
<br style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;" />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">Baadhi ya vyombo vya habari nchini Rwanda, navyo vimekuwa na mwelekeo huo huo, ambapo hivi karibuni vilianza kuhusisha ushauri huo wa Rais Kikwete kuwa msingi wake unatokana na undugu uliopo kati ya mke wake, Mama Salma Kikwete na wabaya wa Kagame.</span><br />
<br style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;" />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">Kwamba mke wa Rais Kikwete ni binamu wa kiongozi wa zamani wa Rwanda, Juvenal Habyarimana, habari ambazo zimekanushwa vikali na Serikali.</span><br />
<br style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;" />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">Ni katika mwenendo huo huo, wiki iliyopita ilibainika kuwa Rwanda na Uganda zinakusudia kutangaza kujitoa kutumia Bandari ya Dar es Salaam kuanzia mwezi ujao. </span><br />
<br style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;" />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">Katika hilo, leo Marais Uhuru Kenyatta wa Kenya, Yoweri Museveni wa Uganda pamoja na Paul Kagame wa Rwanda, wanatarajiwa kuzindua Gati ya bandari ya Mombasa yenye thamani ya dola za Marekani milioni 66.7 ambayo ni zaidi ya Sh bilioni 100 za Kitanzania.</span><br />
<br style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;" />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">Bandari hiyo ambayo itaongeza uwezo kwa asilimia 33, Rais Museveni ambaye ni Mwenyekiti wa Jumuiya Afrika Mashariki (EAC), ataongoza zoezi hilo la uzinduzi.</span><br />
<br style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;" />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">Baadhi ya wachambuzi wa sayansi ya kiuchumi, wanasema kuwa endapo Rwanda na Uganda zitajitoa kutumia bandari ya Dar es Salaam, hizo zitakuwa ni habari mbaya kwa nchi.</span><br />
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;"><br /></span>
<span style="background-color: white; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 18px;">Chanzo:> Mtanzania</span>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/05709654090042978674noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1394570624271759089.post-8000183186857282172013-08-20T09:48:00.002-07:002013-08-27T01:34:36.234-07:00MAANDAMANO YA CHADEMA KUMNG'OA MEYA ILEMELA JIJINI MWANZA YAISHA KWA MABOMU<br />
<br />
<span style="font-family: "Times New Roman", serif; font-size: 12pt;"><b><span style="color: blue;">MAANDAMANO</span></b> ya amani yaliyokuwa yameandaliwa na
chama cha demokrasia na maendeleo(chadema) yamegeuka shubiri kwa wakazi wa jiji
la Mwanza baada ya kuibuka mapambano makali baina ya waandamanaji hao na jeshi
la polisi mkoani Mwanza na kusababisha polisi kutumia nguvu kuwatawanya wafuasi
wa chama hicho.</span>
<br />
<div class="MsoNormal" style="background-color: white; margin-bottom: 0pt;">
<span style="font-family: "Times New Roman", serif; font-size: 12pt;"><br /></span></div>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://4.bp.blogspot.com/-lunqmZ3Qtts/UhI-xAeXExI/AAAAAAAAsbI/qaa8QCwgo-s/s1600/MAANDAMANO+7.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" closure_uid_20630642="2" src="http://4.bp.blogspot.com/-lunqmZ3Qtts/UhI-xAeXExI/AAAAAAAAsbI/qaa8QCwgo-s/s640/MAANDAMANO+7.jpg" height="231" width="320" /></a></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="background-color: white; margin-bottom: 0pt;">
<span style="font-family: "Times New Roman", serif; font-size: 12pt;">Maandamano hayo
ya amani ambayo yalianzia katika eneo la Buzuruga nje kidogo ya jiji la Mwanza
yalikuw ayakiongozwa na wabunge Highness Kiwia wa Ilemela pamoja na Ezekiel
Wenje kuelekea katika viwanja vya Furahisha yalilenga kumshinikiza Mkuu wa Mkoa
wa Mwanza Ernest Ndikilo kutoa barua zinazodaiwa kuandikwa na ofisi ya Waziri
Mkuu Tamisemi kuwarejesha madiwani watatu waliotimuliwa katika Manispaa ya
Ilemela kutokana na kushindwa kuhudhuria vikao vitatu
mfululizo.<o:p></o:p></span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="background-color: white; margin-bottom: 0pt;">
<br /></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="background-color: white; margin-bottom: 0pt;">
<span style="font-family: "Times New Roman", serif; font-size: 12pt;">Polisi wenye
silaha pamoja na askari kanzu walianza kutanda katika eneo hilo la Furahisha
wakiongozwa na Mkuu wa upelelezi wa makosa ya jinai Mkoa wa Mwanza RCO Konyo
ambaye alikuwa akitumia gari lenye namba za usajili DK 068EXV aina ya Toyota
Land Cruiser</span></div>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://4.bp.blogspot.com/-3my1wBAIduI/UhI-ymeVhnI/AAAAAAAAsbY/I6xjJ38mwQQ/s1600/MAANDAMANO+8.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" closure_uid_20630642="3" src="http://4.bp.blogspot.com/-3my1wBAIduI/UhI-ymeVhnI/AAAAAAAAsbY/I6xjJ38mwQQ/s640/MAANDAMANO+8.jpg" height="239" width="320" /></a></div>
<span style="font-family: "Times New Roman", serif; font-size: 16px;">Maandamano
yakipita barabara ya Balewa kuelekea barabara ya Makongoro hatimaye viwanja vya
Furahisha Kirumba Mwanza.</span><br />
<span style="font-family: "Times New Roman", serif; font-size: 16px;"><br /></span>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://1.bp.blogspot.com/-9LhZ9dkNBm4/UhKFUhvESyI/AAAAAAAAsc4/ZuYCd8DiAVI/s1600/MAANDAMANO+3.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" closure_uid_20630642="4" src="http://1.bp.blogspot.com/-9LhZ9dkNBm4/UhKFUhvESyI/AAAAAAAAsc4/ZuYCd8DiAVI/s640/MAANDAMANO+3.jpg" height="239" width="320" /></a></div>
<span style="font-family: "Times New Roman", serif; font-size: 16px;">Mtaa wa jiwe kuu
kata ya Kitangiri na ujumbe wao.</span><br />
<span style="font-family: "Times New Roman", serif; font-size: 16px;"><br /></span>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://1.bp.blogspot.com/-qRckL997Nc8/UhI-zuZFhuI/AAAAAAAAsbg/jqZjNTccU6g/s1600/MAANDAMANO+9.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" closure_uid_20630642="5" src="http://1.bp.blogspot.com/-qRckL997Nc8/UhI-zuZFhuI/AAAAAAAAsbg/jqZjNTccU6g/s640/MAANDAMANO+9.jpg" height="231" width="320" /></a></div>
<span style="font-family: "Times New Roman", serif; font-size: 16px;">Maandamano hayo
ambayo awali yalionekana kana kwamba yangelimalizika salama yaliwasili katika
viwanja vya Furahisha majira ya saa 5.38 huku yakiongozwa na gari la polisi
lenye namba za usajili za nchi ya Uganda 779 UAG likiwa nimesheheni polisi
wenye silaha nzito ikiwa ni pamoja na mabomu ya machozi na bunduki pamoja na
askari kadhaa ambao walikuwa katikati ya maandamano hayo.</span><br />
<span style="font-family: "Times New Roman", serif; font-size: 16px;"><br /></span>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://4.bp.blogspot.com/-ul-8JZMFA9I/UhI-1VcFm9I/AAAAAAAAsbo/cw5E7lMHQFk/s1600/MAANDAMANO+10.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" closure_uid_20630642="6" src="http://4.bp.blogspot.com/-ul-8JZMFA9I/UhI-1VcFm9I/AAAAAAAAsbo/cw5E7lMHQFk/s640/MAANDAMANO+10.jpg" height="239" width="320" /></a></div>
<span style="font-family: "Times New Roman", serif; font-size: 16px;">Askari polisi
akiwaelekeza waandamanaji njia ya kuingia viwanja vya Furahisha jijini
Mwanza.</span><br />
<span style="font-family: "Times New Roman", serif; font-size: 16px;"><br /></span>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://1.bp.blogspot.com/-fC0CtxXzcIA/UhI-3P9OndI/AAAAAAAAsbw/cxSZ_QhMU5g/s1600/MAANDAMANO+11.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" closure_uid_20630642="7" src="http://1.bp.blogspot.com/-fC0CtxXzcIA/UhI-3P9OndI/AAAAAAAAsbw/cxSZ_QhMU5g/s640/MAANDAMANO+11.jpg" height="239" width="320" /></a></div>
<span style="font-family: Times New Roman, serif;">Walioacha shughuli zao za kila siku
waliungana na wale ambao walikuwa shughulini kutafuta kipato kama mama huyu
mstari wa mbele kwenye maandamano.</span><br />
<span style="font-family: Times New Roman, serif;"><br /></span>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://2.bp.blogspot.com/-AJe6YOMbssw/UhI-4H2TU9I/AAAAAAAAsb4/clr1c_TuIRg/s1600/MAANDAMANO+8.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" closure_uid_20630642="8" src="http://2.bp.blogspot.com/-AJe6YOMbssw/UhI-4H2TU9I/AAAAAAAAsb4/clr1c_TuIRg/s640/MAANDAMANO+8.jpg" height="239" width="320" /></a></div>
<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://4.bp.blogspot.com/-Vzw6bTMRejw/UhI-5_ee1dI/AAAAAAAAscA/TbjUgt3acj4/s1600/MAANDAMANO+12.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" closure_uid_20630642="9" src="http://4.bp.blogspot.com/-Vzw6bTMRejw/UhI-5_ee1dI/AAAAAAAAscA/TbjUgt3acj4/s640/MAANDAMANO+12.jpg" height="239" width="320" /></a></div>
<span style="font-family: "Times New Roman", serif; font-size: 16px;">Baada ya
maandamano hayo kuwasili katika viwanja vya Furahisha kwa amani,waandamani hao
ambao walikuwa na mabango mbalimbali yaliyosomeka kuwa ‘Matata hatutaki uendelee
kuwa Meya wa Ilemela rudia kazi yako ya awali, na jingine Jaji Sumari tumechoka
kuahirisha mara kw amara kesi dhidi ya Matata na jingine lililosomeka kuwa RD
Ndikilo tunahitaji barua za kurejeshwa kwa madiwani wetu.</span><br />
<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://1.bp.blogspot.com/-BRx8mBMtaAU/UhKFrLllkxI/AAAAAAAAsdA/gp2bnifSnxE/s1600/MAANDAMANO+4.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" closure_uid_20630642="10" src="http://1.bp.blogspot.com/-BRx8mBMtaAU/UhKFrLllkxI/AAAAAAAAsdA/gp2bnifSnxE/s640/MAANDAMANO+4.jpg" height="239" width="320" /></a></div>
<span style="font-family: "Times New Roman", serif; font-size: 16px;">Hata hivyo
tofauti na ilivyokuwa imetangazwa kuwa maandamano hayo ya amani yangelipokelewa
na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Ernest Ndikilo,hakukuwa na kiongozi yoyote wa Serikali
ambaye alikuwepo uwanjani hapo kupokea maandamano hayo.</span><br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://3.bp.blogspot.com/-1EzcuN0UZCo/UhI-7dAco4I/AAAAAAAAscI/NydrG5pHFww/s1600/MAANDAMANO+13.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">http://get.adobe.com/flashplayer/?promoid=JZEFT<img border="0" closure_uid_20630642="11" src="http://3.bp.blogspot.com/-1EzcuN0UZCo/UhI-7dAco4I/AAAAAAAAscI/NydrG5pHFww/s640/MAANDAMANO+13.jpg" height="239" width="320" /></a></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="background-color: white; margin-bottom: 0pt;">
</div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="background-color: white; margin-bottom: 0pt;">
<div style="margin: 0px;">
<span style="font-family: "Times New Roman", serif; font-size: 12pt;">Kufuatia
kutoonekana kwa kiongozi yoyote wa Serikali,viongozi wa chadema pamoja na
wabunge wao walikutana kwa faragha kwa dakika kadhaa kwa ajili ya kujua hatima
ya maandamano hayo ambapo Mbunge wa Nyamagana Ezekiel Wenje alipanda jukwaani
saa 6.45 na kuwaeleza maelfu ya waandamanaji kuwa wameamua kumtuma Mbunge wa
Ilemela Highnes Kiwia kwenda ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kuchukua majibu
kwa ajili ya kuwaletea wananchi walioandamana juu ya hatima ya madiwani
hao.</span><br />
<span style="font-family: "Times New Roman", serif; font-size: 12pt;"></span><br />
<span style="font-family: "Times New Roman", serif; font-size: 12pt;">Chanzo:>GSengo</span></div>
</div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/05709654090042978674noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1394570624271759089.post-61061824338207223352013-08-20T08:59:00.002-07:002013-08-20T09:37:48.652-07:00Sheikh Ponda Mtuhumiwa ghali zaidi<strong><em><img align="left" border="0" class="caption" src="http://www.mtanzania.co.tz/images/stories/kitaifa/ponda%20morogoro.jpg" height="245" title="Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, akiwa mahakamani Morogoro" width="205" />Inasemwa kwamba...</em></strong><br />
<strong><em>*Arushwa kwa helikopta hadi Morogoro<br />*Asomewa mashitaka ya uchochezi</em></strong>KATIBU wa Taasisi na Jumuiya za Kiislam Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda (54) jana alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Mkoa wa Morogoro akiwa chini ya ulinzi mkali baada ya kuwasili katika uwanja wa Gofu mjini Morogoro kwa helikopta ya polisi. Ponda alifikishwa mahakamani Morogoro,<br />
baada ya mapema asubuhi jana kuachiwa huru katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kwa shtaka la kuhamasisha wafuasi wake kufanya fujo, kabla ya kukamatwa tena na polisi.<br />
<br />
Akisoma mashitaka matatu dhidi ya Sheikh Ponda mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Mkoa wa Morogoro Richard Kabate, Mwanasheria wa Serikali, Bernard Kongola akiwa na wanasheria wenzake wa serikali, Gloria Rwakibalira na Akisa Mhando, alidai Agosti 10 mwaka huu katika eneo la Kiwanja cha Ndege Manispaa ya Morogoro, Ponda alitoa maneno ya uchochezi.<br />
<a name='more'></a><br />
<br />
Alidai Ponda alisema: “Ndugu waislamu msikubali uundwaji wa kamati za ulinzi na usalama za misikiti kwani kamati hizo zimeundwa na Bakwata (Baraza Kuu la Waislamu Tanzania) ambao ni vibaraka wa CCM na serikali na kama watajitokeza kwenu watu hao na watajitambulisha kwamba wao ni kamati za ulinzi na usalama za misikiti,f ungeni milango na madirisha ya msikiti yenu na muwapige sana”.<br />
<br />
Kongola alidai kauli hiyo ilikuwa ikiumiza imani za watu wengine na kwamba hatua hiyo ni kinyume cha agizo la Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam iliyotolewa na Hakimu V. Nongwa Mei 9 mwaka huu ambayo ilimtaka Ponda kuhubiri amani ndani ya mwaka mzima.<br />
<br />
Alidai maneno hayo ni kinyume na kifungu cha sheria namba 124 cha mwaka 2002.<br />
<br />
Katika shitaka la pili, Kongola alidai Agosti 10 mwaka huu katika eneo la Kiwanja cha Ndege Manispaa ya Morogoro, Ponda aliwaambia Waislam kuwa serikali ilipeleka jeshi Mtwara kushughulikia vurugu iliyotokana na gesi kwa kuwaua, kuwabaka, na kuwatesa wananchi kwa sababu asilimia 90 ya wakazi wake ni Waislamu.<br />
<br />
Mwanasheria wa serikali alidai Ponda aliwaambia Waislamu hao kuwa serikali haikupeleka jeshi Loliondo wananchi walipokataa mwarabu asipatiwe kipande cha ardhi ya uwindaji baada ya kudai ni mali yao.<br />
<br />
Alidai Ponda alisema serikali haikuepeka wanajeshi Loliondo kwa sababu asilimia 90 ya wakazi wake ni Wakristu, maneno ambayo yaliumiza imani za watu wengine.<br />
<br />
Kongola alidai matamshi hayo ni kinyume na kifungu cha sheria 129 cha mwaka 2002.<br />
<br />
Katika shitaka la tatu Kongola alidai kuwa matamshi ya Ponda aliyoyatoa Agosti 10 mwaka huu katika eneo la Kiwanja cha Ndege Manispaa ya Morogoro, ni kinyume na kifungu cha sheria namba 390 na kanuni ya adhabu namba 35 ya mwaka 2002.<br />
<br />
Ponda alikana mashitaka yote matatu.<br />
<br />
Mwanasheria wa serikali aliiambia mahakama kuwa upelelezi wa kesi umekamilika na kutaka kesi ianze kusikilizwa Septemba 2 mwaka huu.<br />
<br />
Hata hivyo upande wa utetezi uliomba Mahakama kupanga kesi ianze kusikilizwa Agosti 26 mwaka huu hali ambayo ilimlazimu Hakimu Kabate kuzipa pande hizo muda wa kujadiliana.<br />
<br />
Baada ya kujadiliana kwa daakika tano walirejea mahakamani na kupanga kesi ianze kusikilizwa Agosti 28 mwaka huu.<br />
<br />
Mawakili wa upande wa utetezi, Ignas Pungwe na Bartholomew Tarimo walisema waliomba kesi isikilizwe terehe hiyo kwa vile mteja wao bado ni mgonjwa na anahitaji kupatiwa matibabu.<br />
<br />
Awali baada ya Sheikh Ponda kuwasili kwa helikopta ya polisi katika uwanja wa Gofu alipakiwa katika gari maalum lililoongozana na magari mengine matatu ya polisi.<br />
<br />
Mahakamani nako ulinzi umeimarishwa kwa Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) usalama wa taifa na mbwa wa polisi. <br />
<br />
Baada ya kufika eneo la Mahakama saa 5.00 asubuhi magari yalisimama kwa takribani dakika 30 kabla ya askari kushuka na kumfungulia mlango Ponda ambaye aliingizwa mahakamani huku umati wa wananchi wakiwa wamefurika nje ya mahakamani hiyo.<br />
<br />
Baada ya kesi kumalizika ulinzi uliendelea kuimarishwa hadi alipopandishwa kwenye gari maalum kuelekea kwenye helipokta iliyokuwa imeegeshwa kwenye Uwanja wa Gofu saa 6.00 mchana, tayari kwa safari ya kurejeshwa Dar es Salaam.<br />
<br />
Chanzo:>Mwananchi.<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<br /></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/05709654090042978674noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1394570624271759089.post-90125564355062185802013-08-20T07:04:00.000-07:002013-08-20T07:04:36.183-07:00GAZETI MAWIO LEO MITAANI, LADAIWA KUCHUKULIWA NA MWANAHALISI<img alt="13 548e9" height="640" src="http://mjengwablog.com/images/e/13_548e9.JPG" style="display: block; margin-left: auto; margin-right: auto;" width="438" />Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/05709654090042978674noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1394570624271759089.post-89031846832205101932013-08-19T12:23:00.003-07:002013-08-19T12:23:26.680-07:00Wafuasi wa Ponda wapiga kambi Segerea<img alt="" class="photo_article" height="201" src="http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/1959174/highRes/561896/-/maxw/600/-/hk64dsz/-/wafuasi.jpg" width="400" /><br />
<br />
<div>
<strong>Ofisa Habari wa Magereza, Deodatus Kizinja alisema kisheria ni watu wawili tu kwa mwezi wanaoruhusiwa kumwona mahabusu mmoja.</strong></div>
<!--Ads and Related Buttons--><!-- Ads minus related Buttons --><div>
<strong>Dar es Salaam.</strong> <a name='more'></a>Wafuasi wa Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda wamepiga kambi katika Gereza la Segerea, Dar es Salaam wakitaka kumwona bila mafanikio.<br /></div>
<!--Ads and Related Buttons--><!-- Ads minus related Buttons --><div>
Wakizungumza jana nje ya gereza hilo, wafuasi hao walisema walipofika hapo saa nne asubuhi waliambiwa kwamba tayari ndugu zake wanne walikwisharuhusiwa kuingia kumwona.</div>
<!--Ads and Related Buttons--><!-- Ads minus related Buttons --><div>
“Tumeambiwa kwamba idadi watu hao inatosha na kwamba wengine haturuhusiwi kumwona,” alisema mmoja wa wafuasi hao, Baraka Mohamed na kuongeza: “Tunaendelea kusubiri huruma za askari wa Magereza labda baadaye wanaweza kuturuhusu kumwona,” alisema. <br />
<div>
Wafuasi hao ambao walijaza sehemu kubwa ya eneo la mapokezi na nje ya gereza hilo walilalamikia kitendo cha askari hao kutokuwaruhusu kumwona kiongozi wao.</div>
<!--Ads and Related Buttons--><!-- Ads minus related Buttons --><div>
“Nimefika hapa asubuhi na mapema, lakini utaratibu sikuupenda kwa kweli. Nimezuiwa nami nataka kumwona kiongozi wangu na si mimi tu tuko wengi hapa,” alisema mfuasi huyo.</div>
<!--Ads and Related Buttons--><!-- Ads minus related Buttons --><div>
Wafuasi hao hawakukata tamaa kwani licha ya kuzuiwa waliamua kukaa jirani na lango la gereza na wengine kusimama vikundi vikundi wakijadiliana namna ya kupata nafasi ya kumwona. Sheikh Ponda ambaye alikuwa amelazwa katika Taasisi ya Tiba na Mifupa Muhimbili (Moi) alipelekwa katika gereza hilo Alhamisi iliyopita.</div>
<!--Ads and Related Buttons--><!-- Ads minus related Buttons --><div>
Hatua hiyo ilikuja baada ya kusomewa shtaka la uchochezi akiwa kitandani akidaiwa kutenda kosa hilo katika maeneo mbalimbali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kati ya Juni 2 hadi Agosti 11 mwaka huu.<!--Ads and Related Buttons--><!-- Ads minus related Buttons --><br />
<div>
<strong>Kwa nini walizuiwa?</strong></div>
<!--Ads and Related Buttons--><!-- Ads minus related Buttons --><div>
Ofisa Habari wa Jeshi la Magereza, Deodatus Kizinja alisema jana kuwa kisheria ni watu wawili katika kipindi cha wiki nne wanaoruhusiwa kumwona kila mahabusu.</div>
<!--Ads and Related Buttons--><!-- Ads minus related Buttons --><div>
Hata hivyo, alisema kwa kuzingatia sababu mbalimbali ambazo zimekuwa zikitolewa na wananchi, wamekuwa wakiruhusu idadi zaidi kila inapobidi.</div>
<!--Ads and Related Buttons--><!-- Ads minus related Buttons --><div>
“Kwa watu maarufu kama Ponda, Jeshi la Magereza linakuwa makini kudhibiti umati wa watu wanaotaka kumwona mahabusu kwa sababu hatuwezi kufahamu kama watu wote wana nia njema au la,” alisema Kizinja na kusisitiza kuwa ndugu zake wanne ambao walishaingia kumwona wanatosha.</div>
</div>
</div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/05709654090042978674noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1394570624271759089.post-42280726711883578002013-08-17T15:52:00.004-07:002013-08-17T16:00:25.133-07:00ARSENAL YAANZA VIBAYA<div class="single-right">
<br />
<br />
<br />
<article class="post-1952 post type-post status-publish format-standard hentry category-featured category-sports tag-arsenal-vs-aston" id="post-1952">
<div class="entry-content">
<img alt="306552hp2" class="attachment-featuredbig wp-post-image" src="http://www.kwetubongo.com/wp-content/uploads/2013/08/306552hp2-570x322.jpg" height="225" width="400" /><br />
Msimu wa Ligi Kuu ya soka ya England umeanza kwa kishindo kwa Aston
Villa kuwashtua Arsenal kwa mabao 3-1 katika uwanja wa Emirates.<br />
<a name='more'></a><br />
Arsenal ndio waliofungua mlango katika dakika ya 6 kupitia Olivier
Giroud. Lakini mabao mawili ya Christian Benteke kwa mikwaju ya penati
yaliwakatisha tamaa mashabiki wa Arsenal.<br />
Bao la tatu la Villa limefungwa na Antonio Luna.<br />
Wengine walioshinda ugenini ni Fulham walioifunga Sunderland bao moja
kwa bila na Southampton waliilaza West Bromwich pia kwa bao moja kwa
bila liliofungwa na Rickie Lambert. Liverpool iliibuka na ushindi wa
chupu chupu wa bao moja kwa bila dhidi ya Stoke City liliofungwa na
Daniel Sturridge, goli la kwanza kufungwa msimu huu.<br />
Mlinda lango Mignolet aliiokoa penalti katika dakika za mwisho za
mchezo huo. Westham United waliwakaribisha Cardiff City katika ligi kuu
kwa kuwafunga mabao mawili kwa bila. Norwich City ilitoka sare mawili
kwa mawili na Everton.<br />
<br />
Chanzo:> Kwetubongo. </div>
</article>
</div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/05709654090042978674noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1394570624271759089.post-40336427175613032532013-08-17T00:35:00.002-07:002013-08-17T15:58:11.971-07:00MAJAMBAZI WAWILI WAUWAWA NA WANANCHI JIJINI MWANZA<br />
<div class="separator" style="clear: both; font-family: 'Georgia Serif'; font-size: small; text-align: center;">
<img border="0" src="http://3.bp.blogspot.com/-4MvyurMPkTg/Ug42xnXCdXI/AAAAAAAAklI/KPqmL1rJpzc/s1600/1.png" height="211" width="400" /></div>
<span style="font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif; font-size: x-small;"><br /></span><span style="background-color: white; font-family: 'Georgia Serif'; font-size: x-small;"></span><span style="font-family: 'Georgia Serif'; font-size: medium;"><span style="font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif;">WATU wawili wanaodaiwa kuwa ni majambazi wameuawa na wananchi mkoani Mwanza wakati wakijaribu kuiba katika kituo cha mafuta cha GBP.</span><br /><br /><span style="font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif;">Akizungunzumza na mwandishi wetu, shuhuda mmoja ambaye alikuwa eneo la tukio hilo alisema kuwa majambazi hao walifika katika kituo hicho cha mafuta wakitaka kuiba</span></span><span style="font-family: 'Georgia Serif'; font-size: x-small;"><br /></span>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/05709654090042978674noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1394570624271759089.post-92207871930476563432013-08-17T00:25:00.001-07:002013-08-17T15:50:13.139-07:00LIGI KUU UINGEREZA KUANZA KUTIMUA VUMBI LEO<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://3.bp.blogspot.com/-OEgNtfIVZG4/Ug8lDzR0ccI/AAAAAAAAAJQ/4HmM_yotTmU/s1600/ligi.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://3.bp.blogspot.com/-OEgNtfIVZG4/Ug8lDzR0ccI/AAAAAAAAAJQ/4HmM_yotTmU/s1600/ligi.jpg" height="180" width="320" /></a></div>
<br />
<br />
<div style="background-color: white; color: #525252; font-family: Arial, Verdana, Geneva, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 1.9em;">
Ligi ya Uingereza yenye mashabiki wengi duniani na inayofuatiliwa kwa karibu sana hapa kwetu Tanzania,inaendelea leo.</div>
<div style="background-color: white; color: #525252; font-family: Arial, Verdana, Geneva, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 1.9em;">
Timu nyingi zitakua viwanjani kutafuta matokeo mazuri huku ligi ikiwa inaenda ukingoni,baadhi ya timu zinahitaji matokeo mazuri ili kumaliza nafasi bora za juu wakati nyingine zikijaribu kujinasua na hatari ya kushuka daraja.</div>
<div style="background-color: white; color: #525252; font-family: Arial, Verdana, Geneva, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 1.9em;">
Mechi za leo jumamosi:</div>
<br />
<table style="background-color: white; color: #272727; font-family: Arial,Verdana,Geneva,sans-serif; font-size: 12px; height: 23px; line-height: 19.1875px; width: 333px;"><tbody>
<tr><td valign="top"><br /></td><td valign="top"><br /></td><td valign="top"><br /></td><td valign="top"><br /></td></tr>
<tr><td style="margin: 0px; padding: 0px;"><br /></td><td style="margin: 0px; padding: 0px;"><br /></td><td style="margin: 0px; padding: 0px;"><br /></td><td style="margin: 0px; padding: 0px;"><br /></td></tr>
<tr><td style="margin: 0px; padding: 0px;"><br /></td><td style="margin: 0px; padding: 0px;"><br /></td><td style="margin: 0px; padding: 0px;"><a name='more'></a><br /></td><td style="margin: 0px; padding: 0px;"><br /></td></tr>
<tr><td style="margin: 0px; padding: 0px;"><br /></td><td style="margin: 0px; padding: 0px;"><br /></td><td style="margin: 0px; padding: 0px;"><br /></td><td style="margin: 0px; padding: 0px;"><br /></td></tr>
<tr><td style="margin: 0px; padding: 0px;"><br /></td><td style="margin: 0px; padding: 0px;"><br /></td><td style="margin: 0px; padding: 0px;"><br /></td><td style="margin: 0px; padding: 0px;"><br /></td></tr>
<tr><td style="margin: 0px; padding: 0px;"><br /></td><td style="margin: 0px; padding: 0px;"><br /></td><td style="margin: 0px; padding: 0px;"><br /></td><td style="margin: 0px; padding: 0px;"><br /></td></tr>
<tr><td style="margin: 0px; padding: 0px;"><br /></td><td style="margin: 0px; padding: 0px;"><br /></td><td style="margin: 0px; padding: 0px;"><br /></td><td style="margin: 0px; padding: 0px;"><br /></td></tr>
<tr><td style="margin: 0px; padding: 0px;"><br /></td><td style="margin: 0px; padding: 0px;"><br /></td><td style="margin: 0px; padding: 0px;"><br /></td><td style="margin: 0px; padding: 0px;"><br /></td></tr>
</tbody></table>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/05709654090042978674noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1394570624271759089.post-85693054691680586322013-08-16T06:49:00.004-07:002013-08-16T06:49:25.358-07:00TASWIRA YA MASHINDANO YA DANSI FIESTA KIGOMA 2013 <div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
Maoni mbalimbali yasikika kuhusu makundi yaliyochaguliwa kushiriki shindano hilo.<br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://2.bp.blogspot.com/-cZ6T9zXjjRI/Ug4s9Ed8AvI/AAAAAAAAAGg/nr3AmVqRDWU/s1600/fiesta.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="265" src="http://2.bp.blogspot.com/-cZ6T9zXjjRI/Ug4s9Ed8AvI/AAAAAAAAAGg/nr3AmVqRDWU/s400/fiesta.JPG" width="400" /> </a></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<br /></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<strong>Mwanadada mwenyeji wa Kigoma mjini akitoa maoni yake kuhusu
makundi yaliyoshiriki Dansi La Fiesta 2013 siku ya Alhamisi 17 August
2013 ndani ya club Lake View Kigoma mjini.</strong> </div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<br /></div>
<div style="text-align: center;">
<strong><a href="http://api.ning.com/files/cXBH7X7ikKk0nU3l-UvE4jo8AlAkM8KFz7ttm1eDz8CkDIVEqi*LLnDzYp7OQRFdkfaf82C6yWSmQaKGuXJeATD1UXs4UWzM/9.JPG" target="_self"><img alt="" height="265" src="http://api.ning.com:80/files/cXBH7X7ikKk0nU3l-UvE4jo8AlAkM8KFz7ttm1eDz8CkDIVEqi*LLnDzYp7OQRFdkfaf82C6yWSmQaKGuXJeATD1UXs4UWzM/9.JPG?width=750" width="400" /></a></strong></div>
<div style="text-align: center;">
<strong>Alex Mzambele akiwa na Adam
Mchomvu wakitangaza washindi wa Dansi La Fiesta usiku wa Alhamisi 15
August ndani ya club ya Lake View Kigoma mjini.</strong></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/05709654090042978674noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1394570624271759089.post-30665720657415440422013-08-16T05:54:00.002-07:002013-08-16T06:19:32.929-07:00"KIAMA CHA WASANII MAMISS KIMETIMIA.....FANI IMEWASHINDA NA WAMEKIMBILIA KUJIUZA"...<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://4.bp.blogspot.com/-8QKL1zSQC98/Ug4lbP-N_sI/AAAAAAAAAGQ/gdnbiQhxWsY/s1600/thea.png" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="320" src="http://4.bp.blogspot.com/-8QKL1zSQC98/Ug4lbP-N_sI/AAAAAAAAAGQ/gdnbiQhxWsY/s320/thea.png" width="214" /></a></div>
<div style="text-align: justify;">
<pre id="line1"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">BAADA ya wasanii waliotoka kwenye mashindano ya u-miss kuvuma sana na
kupotea ghafla, msanii mkongwe kunako gemu la filamu Bongo, Salome
Ndumbagwe Misayo ‘Thea’ amefunguka na kudai <a name='more'></a>utabiri wake umetimia.</span> </span></pre>
<pre id="line1"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"> </span></span></pre>
<pre id="line1"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, Thea alisema miaka kadhaa iliyopita
alitabiri kuwa wasanii waliokuwa wanavuma sana ambao walitokea kwenye
mashindano ya u-miss, hawatadumu kwenye uigizaji hivyo utabiri wake
umetimia kwani sasa hivi, hawavumi tena.</span></span><span style="font-size: medium;">
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"> </span></span></pre>
<pre id="line1"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">“Utabiri wangu unafanya kazi kwa sababu kwa sasa wale wasanii walioibukia kwenye mashindano ya
u-miss wengi hawasikiki tena, wasanii wanatakiwa kutambua kuwa sanaa hii
siyo lelemama yaani mpaka kufikia hapa tulipo tulifanya kazi ya ziada,
tulisota sana kwenye vikundi,” alisema Thea</span></span></pre>
</div>
<div style="background-color: white; border: medium none; color: black; overflow: hidden; text-align: justify; text-decoration: none;">
<br /></div>
<pre id="line1">
<span id="line416"></span></pre>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/05709654090042978674noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1394570624271759089.post-40574448307869427962013-08-16T00:08:00.001-07:002013-08-16T05:48:20.999-07:00Hit list ya Fiesta Kigoma yatembelea kaburi la Ngwear kabla ya safari<a href="http://1.bp.blogspot.com/-ZMxpiUN6xTA/Ug3Ih096YWI/AAAAAAAAAFw/gi3GvRcPAQo/s1600/wasanii.png" imageanchor="1"><img border="0" src="http://1.bp.blogspot.com/-ZMxpiUN6xTA/Ug3Ih096YWI/AAAAAAAAAFw/gi3GvRcPAQo/s320/wasanii.png" /></a><br />
Wasanii wa Bongo fleva watembelea kaburi la marehemu Albert Mangwea,(Kihonda) Mjini Morogoro asubuhi ya leo na kumuombea dua pale walipokuwa wakipita kuelekea mkoani Kigoma <br />
<a name='more'></a>kwa ajili ya kukitifua kwenye uzinduzi wa tamasha la Fiesta 'Twenzetu'ambalo mwaka huu linaanzia mkoani Kigoma.
Fiesta inatarajiwa kuzinduliwa siku ya Juma Mosi ndani ya viwanja vya Lake Tanganyika kwa kiingilio cha shilingi 3000 tu, huku zaidi ya wasanii 25 watapanda stage.
Chanzo:> TeenTz
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/05709654090042978674noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1394570624271759089.post-72049425270155368612013-08-14T23:46:00.001-07:002013-08-14T23:54:21.500-07:00Yanga noma, yaibwaga Simba vita ya Ngasa
<a href="http://1.bp.blogspot.com/-vyML2PGZjHs/Ugx6MomMpjI/AAAAAAAAAFg/cnLIiu4R0uI/s1600/ngassa.jpg" imageanchor="1" ><img border="0" src="http://1.bp.blogspot.com/-vyML2PGZjHs/Ugx6MomMpjI/AAAAAAAAAFg/cnLIiu4R0uI/s320/ngassa.jpg" /></a>
KAMATI ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) inakutana kwa siku mbili kuanzia kesho Jumatano kujadili utata na pingamizi za usajili wa wachezaji wa Ligi Kuu Bara, lakini Yanga inaonekana kuwa na faida zaidi kuliko Simba kuhusu suala la Mrisho Ngassa.<a href="http://http://www.mwanaspoti.co.tz/Soka/Yanga-noma--yaibwaga-Simba-vita-ya-Ngassa/-/1799484/1945954/-/2qxnwc/-/index.html"></a>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/05709654090042978674noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1394570624271759089.post-50863614644042316682013-07-23T02:50:00.000-07:002013-08-14T23:55:44.454-07:00Martino ndani ya BarcaUjio wa Martino catalunya. Ni mtu sahihi kwa barca?<a href="http://http://www.goal.com/en/news/12/spain/2013/07/22/4136186/barcelona-set-to-appoint-martino?ICID=HP_HN_1"><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="http://3.bp.blogspot.com/-MuzRajuRCl8/Ue5RgebYvpI/AAAAAAAAAFQ/qPzutPeAUMc/s1600/mart.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://3.bp.blogspot.com/-MuzRajuRCl8/Ue5RgebYvpI/AAAAAAAAAFQ/qPzutPeAUMc/s320/mart.jpg" /></a></div></a>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/05709654090042978674noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1394570624271759089.post-19315068157422145392013-06-16T15:57:00.000-07:002013-06-16T15:57:42.682-07:00Ndoto za Taifa Stars Kombe la Dunia kwishnei<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="http://4.bp.blogspot.com/-104fiklFBCs/Ub5Cph3pntI/AAAAAAAAAFA/a_xCyQXz1I4/s1600/Tanzania-Mbwana-Samatta-300.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://4.bp.blogspot.com/-104fiklFBCs/Ub5Cph3pntI/AAAAAAAAAFA/a_xCyQXz1I4/s320/Tanzania-Mbwana-Samatta-300.jpg" /></a></div><a href="http://http://www.supersport.com/football/tanzania/news/130616/Taifa_Stars_World_Cup_dreams_over"></a>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/05709654090042978674noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1394570624271759089.post-34900171986700782382012-10-05T13:50:00.000-07:002012-10-05T13:50:12.895-07:00EVERY BODY WANT TO TIE HIS/HER OWN MAC OS(APPLE) PC BRAND. YOUR DA ONE? <br />
CHECK ON ACTIVE LINE... <a href="http://www.shopzilla.com/">SHOPZILLA</a> -GIFT SHOP TO OWN Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/05709654090042978674noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1394570624271759089.post-15781229074065863962012-10-05T13:38:00.002-07:002012-10-05T13:38:07.206-07:00<a class="d" href="http://w.info.com/ClickHandler.ashx?du=http%3a%2f%2fwww.webdesignbooth.com%2f15-extremely-useful-css-grid-layout-generator-for-web-designers%2f&ru=http%3a%2f%2fwww.webdesignbooth.com%2f15-extremely-useful-css-grid-layout-generator-for-web-designers%2f&ld=20121005&ap=10&app=1&c=us.inforeport10&s=infousreport10&coi=239138&cop=main-title&euip=197.152.183.99&npp=4&p=0&pp=6&pvaid=8d11a617a744471380f7bfdd73f45aa0&ep=8&mid=9&hash=8318B1E0C1CDC7AC8F0DA9232B7AD3DB" target="_blank" title="http://www.webdesignbooth.com/15-extremely-useful-css-grid-layout-generator-for-web-designers/">May 31, 2009 ... <b>CSS</b> Grid <b>Layout</b> <b>Generator</b>s are undoubtedly useful for a web designers. These <b>generator</b>s saves designers time by generating different size ...</a><br />
Just follow above and below Link to be professional web designer...http://www.info.com/<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://2.bp.blogspot.com/-0dR9zytGch0/UG9CeK15WZI/AAAAAAAAABU/QV35K8l0y5o/s1600/wayne_rooney_host.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="271" src="http://2.bp.blogspot.com/-0dR9zytGch0/UG9CeK15WZI/AAAAAAAAABU/QV35K8l0y5o/s320/wayne_rooney_host.jpg" width="320" /></a></div>
<a href="http://www.blogger.com/www.facebook.com/SportArena">NEW SPORT LIFE</a> <br />
<br />
A place to for all sports events, join us. Be the first of your friend to like and converted sports lights of your type.Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/05709654090042978674noreply@blogger.com0