Wednesday, August 14, 2013

Yanga noma, yaibwaga Simba vita ya Ngasa

KAMATI ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) inakutana kwa siku mbili kuanzia kesho Jumatano kujadili utata na pingamizi za usajili wa wachezaji wa Ligi Kuu Bara, lakini Yanga inaonekana kuwa na faida zaidi kuliko Simba kuhusu suala la Mrisho Ngassa.

No comments:

Post a Comment