Friday, August 16, 2013

TASWIRA YA MASHINDANO YA DANSI FIESTA KIGOMA 2013

Maoni mbalimbali yasikika kuhusu makundi yaliyochaguliwa kushiriki shindano hilo.

Mwanadada mwenyeji wa Kigoma mjini akitoa maoni yake kuhusu makundi yaliyoshiriki Dansi La Fiesta 2013 siku ya Alhamisi 17 August 2013 ndani ya club Lake View Kigoma mjini.

Alex Mzambele akiwa na Adam Mchomvu wakitangaza washindi wa Dansi La Fiesta usiku wa Alhamisi 15 August ndani ya club ya Lake View Kigoma mjini.

No comments:

Post a Comment