Mwenge
wa uhuru ukiwasili katika uwanja wa kilele cha mbio za mwenge
kitaifa uwanja wa Samora ukitokea viwanja vya mkesha Mwembetogwa
ambako ulikesha kwa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa
Viongozi wa serikali ya mkoa wa Iringa na wananchi wakisubiri kupokea mwenge kutoka Manispaa ya Iringa leo
Ulinzi mkali uwanja wa samora leo
Mkuu
wa mkoa wa Iringa Dr Christine Ishengoma kulia akipokea mwenge
kutoka kwa mkuu wa wilaya ya Iringa Dr Leticia Warioba baada ya
Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kumaliza mbio hizo kwa kuzindua
miradi 8 yenye thamani ya Tsh milioni 940.2