"Risasi: Madai ya Yvonne ni nini hasa?
Aunt: Yaani hata mimi sijui, nilishangaa sana. Kwanza lengo lake lilikuwa kunijeruhi kwenye uso, lakini niliiona chupa nikaikinga na mkono ndiyo maana ikaniumiza.
Risasi: Siku za nyuma uliwahi kuingia kwenye mzozo na Yvonne kwamba unamchukulia mpenzi wake aitwaye Joff, siyo kwamba ndiyo kisasi?
Aunt: Yale mambo yalipita, yeye ana maisha yake na mimi nina yangu."
Baada ya tukio hilo muigizaji huyo alienda hospitali kutibiwa na Yvonne anashikiliwa kituo cha polisi Oysterbay baada ya vurugu kubwa kuzuka ukumbini na show kusimama kwa muda.
Chanzo:> Swahiliworldplanet.
No comments:
Post a Comment