Monday, October 14, 2013

MBIO ZA MWENGE WA UHURU ZAMALIZIKA ,MKOA WA IRINGA WAKABIDHI TAIFANI ASUBUHI YA LEO

 Mwenge  wa uhuru  ukiwasili katika uwanja wa  kilele  cha mbio za mwenge kitaifa  uwanja wa Samora  ukitokea  viwanja  vya mkesha  Mwembetogwa ambako ulikesha kwa Halmashauri ya Manispaa ya  Iringa
 Viongozi  wa  serikali ya mkoa wa Iringa na  wananchi wakisubiri kupokea mwenge  kutoka Manispaa ya Iringa  leo
 Ulinzi  mkali uwanja  wa samora  leo 
 Mkuu  wa  mkoa  wa Iringa Dr Christine Ishengoma kulia akipokea  mwenge  kutoka kwa mkuu wa wilaya ya Iringa Dr Leticia  Warioba baada  ya Halmashauri ya Manispaa ya  Iringa kumaliza mbio  hizo kwa kuzindua miradi 8  yenye thamani ya Tsh milioni 940.2
 Mkuu  wa  mkoa  wa Iringa Dr Ishengoma  akiwa amepokea mwenge  huo tayari kluukabidhi Taifa
 Viongozi wa Kitaifa  wakiongozwa na waziri wa habari vijana utamaduni na michezo Dr Fenela Mkangala wa  tatu  kulia  wakisubiri  kukabidhiwa mwenge leo  uwanja wa samora
 Mkuu  wa mkoa  wa Iringa Dr Ishengoma akisoma taarifa ya miradi iliyopitiwa na mbio za mwenge mwaka 2013
 Mkuu wa mkoa  wa Iringa Dr Ishengoma  akijiandaa kumkabidhi mwenge  waziri Dr Mkangala  leo uwanja  wa Samora
 Mkuu wa mkoa wa Iringa Dr Christine Ishengoma kulia akimkabidhi mwenge wa uhuru waziri Dr Mkangala  leo  uwanja  wa Samora kabla ya  waziri  huyo kuukabidhi mwenge  huo kwa vijana ili kuja kuukabidhi kwa rais Dr Kikwete kwa kuuzima mapema leo

 Waziri Dr Mkangala  akivipongeza  vyombo vya ulinzi mkoa  wa Iringa 
 kamanda  wa polisi mkoa  wa Iringa  Ramadhan Mungi kulia akimpongeza mkuu wa FFU mkoa wa Iringa S.A Mnunka kwa kazi nzuri ya kukimbiza mwenge  vizuri mkoa wa Iringa



Waziri Dr Mkangala kulia akiwa na viongozi wa mkoa  wa Iringa  

Source:> Michuzi

No comments:

Post a Comment